Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIYAMA ALLY AIKUMBUKA TAMTHILIA YA ‘JABALI’… asema ndiyo iliyomtoa

RIYAMA Ally amesema kuwa tangu ajitose kwenye Bongo Muvie mwaka 2000, siku ya kwanza ya kuona matunda ya sanaa ilikuwa ni baada ya kuigiza vema kama mtoto aliyegeuzwa kichaa na mama yake mzazi.Riyama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLAUDIO RANIEL ATHIBITISHA KUWA SOKA LINA MAAJABU YAKE

KOCHA Claudio Raniel amesema iwapo klabu mbili za Manchester ndizo zingekuwa katika nafasi ambayo Leicester City kwa sasa wamo, basi angeamini mbio za Ligi zimeisha.Leicester ambao watakuwa wenyeji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSSA BANZI AMVUTA TENA ODAMA NDANI YA FILAMU MPYA YA “GOLD ODAMA”

BAADA ya kimya cha muda mrefu, muongozaji na mwandishi wa hadithi za filamu, Mussa Banzi, amesema kuwa anajiandaa kuibuka na filamu aliyoipa jina la ‘Gold Odama’ aliyomshirikisha msanii Jenifer Kyaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIDIER DROGBA AKARIBISHA UCHUNGUZI TUHUMA ZA “UPIGAJI”

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba, amekaribisha uchunguzi ufanywe juu ya taasisi yake dhidi ya kile kilichoitwa wasiwasi mkubwa juu ya udhibiti wa fedha za taasisi hiyo.Gazeti la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAROUANE FELLAINI KUONDOKA MANCHESTER UNITED …ROMA YAMPIGIA HESABU

MAROUANE FELLAINI alikuwa ndani ya Stadio Olimpico akiitazama Roma ikicheza na Napoli siku ya Jumatatu, huku wakala wake, Luciano D'Onofrio akisema staa huyo kuhamia Serie A ni jambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUCAS VAZQUEZ WA REAL MADRID ALIVYODHIHIRISHA KUWA ANA MAPAFU YA MBWA

LUCAS VAZQUEZ ameonyesha kuwa “ana mapafu ya mbwa” kuliko wachezaji wenzake wote wa Real Madrid baada ya kukimbia umbali mrefu zaidi katika mechi ya nusu fainali ya Champions League Uwanja Etihad,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUWEKA REKODI MPYA PREMIER LEAGUE ...MESUT OZIL 'AILETEA' MAPOZI...

KIUNGO nyota wa Arsenal aliyeandika rekodi ya kutengeneza nafasi 137 katika Premier League msimu huu, Mesut Ozil, amesema hana haraka ya kusaini mkataba mpya na anaweza kusubiri hadi mwisho wa msimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SANTI CAZORLA AITABIRIA VILLARREAL KUCHEZA FAINALI YA EUROPA LEAGUE

SANTI CAZORLA amesema ataweza kurudi kuichezea Villarreal siku moja na anatumaini kuisapoti timu yake hiyo ya zamani wakati itakapocheza na Liverpool katika nusu fainali ya pili ya Europa League...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 35: MSONDO NA SIKINDE WALIVYOKOMESHANA TCC CLUB ...haijawahi kutokea!!!

Kama ilivyotarajiwa, onyesho la Msondo Ngoma Music Band na Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya ukae”, lilikuwa bab kubwa, lakini hili lilikuwa na ziada  – lilijaza kuliko maonyesho yao yote yaliyopita.Na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YAKWAA KISIKI YANYUKWA 3-1 NA SWANSEA …Andre Ayew awa mwiba

Liverpool imepunguzwa kasi yake ya kukwea vidato kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kunyukwa 3-1 na Swansea.Ander Ayaw ndiye aliyekuwa mwiba kwa Liverpool ambapo aliweza kufunga bao la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA VAN GAAL KABLYA MECHI YA MAN UNITED NA LEICESTER CITY

LOUIS VAN GAAL amesema kwamba Leicester City kutwaa ubingwa ni jambo zuri kwa Premier League, lakini akaapa kikosi chake cha Manchester United hakitokubali kufanywa ngazi na timu hiyo kwa kuwa wapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATLETICO MADRID KUKODI NDEGE TANO MASHABIKI WAKASAIDIE KUING'OA BAYERN MUNICH

KLABU ya Atletico Madrid imefanya utaratibu wa kupata ndege tano kwa ajili ya kubeba mashabiki watakaokwenda Ujerumani kuwapa sapoti katika mechi yao ya marudiano ya nusu fainali ya Champions League...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LICHA YA BAYERN KUWA NYUMA 1-0 …PEP GUARDIOLA ‘ASEMA’ KUTINGA FAINALI...

PEP GUARDIOLA ameonyesha kuwa na uhakika wa asilimia 100 wa kupindua ushindi wa bao 1-0 waliopata Atletico Madrid katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya Champions League Jumatano iliyopita, kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BADO POINTI 2 LEICESTER KUBEBA TAJI LA PREMIER LEAGUE ...MANCHESTER UNITED...

Manchester United imechelewesha shangwe za ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa Leicester City baada ya  sare ya 1-1 ndani ya Old Trafford baina ya timu hizo mbili.United ilikuwa ya kwanza kupata bao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 16 ZA SHOW YA MSONDO NA SIKINDE NJE YA JUKWAA

Zifuatazo ni picha kadhaa zilizochukuliwa na Saluti5 nje ya jukwaa kwenye onyesho la Msondo na Sikinde pale TCC Club Chang’ombe Jumamosi usiku, onyesho ambalo lilihudhuriwa na umati mkubwa watu. MC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOUBLE M PLUS ‘YACHANIKA’ …KUPAZA AMIPIGA MUUMIN …WAWILI WATIMULIWA BENDI

Bendi ya Double M Plus imepata ufa mkubwa baada ya viongozi wake waandamizi kupigana na kutimuana kazi mara baada ya onyesho lao la Jumamosi usiku.Double M Plus ilikuwa kwenye ukumbi wa Star Point...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AYA 15 ZA SAID MDOE: KUNA SEHEMU MSONDO NA SIKINDE WANAPIGWA CHENGA YA MWILI

Awali ya yote nichukue fursa hii kusema kuwa onyesho la juzi usiku la Sikinde na Msondo lililofanyika TCC Club Chang’ombe lilinivutia sana na niliburudika mpaka baaasi.Binafsi naamini hizi ndiyo bendi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 16 ZA UTAMBULISHO WA AISHA VUVUZELA NA ZUBEDA MLAMALI JAHAZI ULIVYONOGA...

Hatimaye waimbaji Zubeda Mlamali na Aisha Vuvuzela wametambulishwa rasmi Jahazi Modern Taarab katika onyesho kubwa lililofanyika Travertine Hotel usiku wa kuamkia leo.Umati mkubwa ukafurika Travertine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER UNITED YATENGA PAUNI MIL 30 KUMNYAKUA N'GOLO KANTE WA LEICESTER CITY

MANCHESTER UNITED imeripotiwa kutenga pauni milioni 30 kwa ajili ya ofa ya uhamisho wa kiungo nyota wa Leicester City, N’Golo Kante.Kante amekuwa na mchango mkubwa kwa Leicester msimu huu, na tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLAUDIO RANIERI ASEMA HATATAZAMA MECHI YA TOTTENHAM NA CHELSEA JUMATATU USIKU

CLAUDIO RANIERI amesema hatatazama mechi ya Tottenham na Chelsea iyakayopigwa Stamford Bridge Jumatatu, licha ya kuwa matokeo yake yanaweza kukifanya kikosi chake cha Leicester City kubeba taji la...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>