Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

MANCHESTER UNITED YATENGA PAUNI MIL 30 KUMNYAKUA N'GOLO KANTE WA LEICESTER CITY

$
0
0
New France international Kante has been shortlisted by the PFA for their Player of the Year Award
MANCHESTER UNITED imeripotiwa kutenga pauni milioni 30 kwa ajili ya ofa ya uhamisho wa kiungo nyota wa Leicester City, N’Golo Kante.

Kante amekuwa na mchango mkubwa kwa Leicester msimu huu, na tayari amehusishwa na kuhamia katika klabu kadhaa kubwa barani Ulaya kiangazi hiki.

Gazeti la Star limedai kuwa United inajiandaa kuwa ya klabu ya kwanza kupeleka ofa rasmi Leicester kwa ajili ya kiungo huyo wa miaka 25.

Awali iliripotiwa kuwa United iko tayari kumtoa kwa mkopo kinda wake Mbrazil, Andreas Pereira kama sehemu ya dili hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles