Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

BAADA YA KUWEKA REKODI MPYA PREMIER LEAGUE ...MESUT OZIL 'AILETEA' MAPOZI ARSENAL

$
0
0
Arsenal's Mesut Ozil pictured during a training session on Friday ahead of their game against Norwich
KIUNGO nyota wa Arsenal aliyeandika rekodi ya kutengeneza nafasi 137 katika Premier League msimu huu, Mesut Ozil, amesema hana haraka ya kusaini mkataba mpya na anaweza kusubiri hadi mwisho wa msimu kwa mazungumzo na klabu hiyo.

Ozil aliyepika mabao 18 msimu huu, kama ilivyo kwa mwenzake Alexis Sanchez wamebakisha miaka miwili katika mikataba yao ya sasa, huku Arsenal ikidhamiria “kuwatia pingu” kwa kuwapa mikataba mirefu zaidi kiangazi hiki.


Akizungumza katika mahojiano na Sport-Informations-Dienst ya Ujerumani, Ozil aliyeandikaalisema: "Hakuna haraka. Nina miaka miwili imebaki katika mkataba wangu. Tutaona itakavyokuwa mwisho wa msimu."

Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>