Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENE WENGER AENDELEA KUOTA KUMSAJILI LIONEL MESSI

INGAWA inawezekana kuwa ni ndoto za alinacha, lakini bado bosi wa Washika Mitutu wa jiji la London, Arsene Wenger anaamini kukamilika kwa ndoto aliyoanza miaka mingi nyuma ya kumnasa Lionel Messi.Ndoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MONALISA AKANA KUWA NA MIMBA KWENYE NDOA YAKE MPYA

MCHEZAJI filamu wa Nollywood, Monalisa Chinda amekana kuwa na mimba licha ya kuolewa na mume mpya Februari, mwaka huu.Monalisa aliyesota kwa miaka kadhaa bada ya kuachana na mumewe wa kwanza, alisema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUKASZ PISZCZEK KUTUA MANCHESTER CITY

BOSI wa Matajiri wa Jiji la Manchester, Manchester City, Manuel Pellegrini wala hana haja ya mustakabali wake wa ama kubaki au kuondoka.Katika kujiaminisha kuwa bado ana nafasi ya kubaki, ndio kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEROUZ ASEMA HATEGEMEI KUBEBWA NA VIDEO KWENYE NYIMBO ZAKE

NYOTA wa siku nyingi wa Bongofleva, Ferouz amesema kuwa huwa hategemei nguvu za video katika nyimbo zake kwamadai kwamba ujumbe mzuri unatosha kuwagusa mashabiki.Ferouz amesema ukweli huo ndio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER CITY, PSG ZAMWANIA MIROSLAV KLOSE WA LAZIO

MANCHESTER City na Paris Saint-Germain ni kati ya klabu zinazoonyesha nia ya kutaka kumnasa Miroslav Klose.Miroslav Klose yuko katika kiwango cha juu tangu kuanza kwa msimu huu, hali hiyo ndio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JURGEN KLOPP AMFUKUZIA SERGIO RAMOS

MAJOGOO wa Jiji la London, wanapigana vikumbo na baadhi ya klabu zinazomfukuzia nyota wa Real Madrid, Sergio Ramos, laini wanalazimika kuweka dau la ziada mezani la pauni 24 milioni kwa ajili ya jembe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PEDRO ATIA MSISITIZO WA KUBAKI CHELSEA

STRAIKA wa Matajiri wa Stanford Bridge, Pedro amesisitiza azma yake ya kuendelea kubaki Chelsea, licha ya kuweko na taarifa kuwa anajipanga kwa ajili ya kurejea Hispania.Pedro alijiunga na ‘The Blues’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUVENTUS WAWANIA SAINI YA SAMIR NASRI

KIBIBI kizee cha Tulin, Juventus wanajiandaa kutuma ofa ya pauni 23 milioni wakitaka saini ya straika wa Manchester City, Samir Nasri.Tarifa za ndani ya klabu ya Juve zinasema kuwa, Nasri amewekwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAJMA WA BARAKA DA PRINCE AWAPASHA WANAOWAFATILIA

MWANAMUZIKI Najma Dattan ambaye ni mchumba wa Baraka da Prince amewataka wale wanaowafuatilia na kuwachunguza waache kufanya hivyo kwa vile wameamua wenyewe kuwa wachumba.Kimwana huyo amesema kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKATABA WA LOUIS VAN GAAL HADI 2017

KLABU ya Manchester United imethibitisha tarifa ya kuwa Louis Van Gaal ataendelea na jukumu la kuiongoza timu hiyo hadi mwishoni mwa mwezi Juni, mwaka huu.Lakini sambamba na hilo, imebainika kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COUTINHO: JURGEN KLOPP NI KOCHA BORA

MAJOGOO wa Jiji, Liverpool bado hawajarejea katika mstari wa mafanikio tangu kuanza kwa msimu huu, lakini straika Philippe Coutinho amemfagilia kocha wake, Jurgen Klopp kwa kusema ameweza kuleta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER CITY WAMWANIA ANDRE AYEW

STRAIKA wa Swansea, Andre Ayew anawindwa na matajiri wa Jiji la Manchester, Manchester City, ingawa kutakuwa na kazi ya ziada kumng’oa.City imekuwa katika mbio za kumsainisha nyota huyo kwa dau la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAA: NAJALI MUONEKANO WANGU KWAVILE NATAMBUA MSANII KIOO CHA JAMII

MSANII wa Bongofleva Sarah Kaisi ‘Shaa’, amesema kuwa siku zote huwa anajali muonekano wake kwa vile anatambua kwamba msanii ni kioo cha jamii.Amesema, msanii hata kama hana pesa anatakiwa kuwa nadhifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ AWAKATA MAINI VIMWANA WANAOMGHASI KIMAPENZI

MWANAMUZIKI Ommy Dimpoz amesema kuwa, sasa ana uhakika hatasumbuliwa tena na vimwana ambao wamekuwa wakimganda kumtaka kimapenzi kwakuwa tayari ameshamuweka wazi mpenzi wake.Amesema kuwa katika maisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIPTOP WAJIONGEZA KWENYE UJASIRIAMALI

MENEJA wa Tiptop Connection, Babu Tale amesema kuwa sasa kundi hilo limeamua kujiongeza kwa kujitangaza zaidi kibiashara kwa kuandaa vitu mbalimbali vyenye nembo ya jina ‘Tiptop Connection’.Tale...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAJUA KUWA SHILOLE HAONI AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBOVU? SOMA HAPA

ZUWENA Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa haoni aibu kuzungumza lugha ya Kiingereza kwa makosa akidai kuwa anafanya hivyo kama njia mojawapo ya kujifunza kutokana na makosa.Alisema, Kiingereza sio lugha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVINA ADAI WASANII WENGI WANASHINDWA KUFANIKIWA KWA KUJIFANYA WANAJUA KILA KITU

NYOTA wa Bongomuvi ambaye kwa sasa anajishughulisha na biashara, Halima Yahya ‘Davina’, amesema kuwa baadhi ya wasanii wanashindwa kupiga hatua ama kufikia mafanikio kwa sababu ya kujifanya wanajua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMSA FORD ASEMA KUVAA NGUO FUPI SIO KIPIMO CHA UHUNI

SHAMSA Ford alisema kuwa kuvaa nguo fupi sio kipimo kwamba ana tabia mbaya bali ni jambo la kawaida na kila mtu ana mtindo wa mavazi anaoupenda.Mwigizaji huyo wa filamu alisema kuwa kuna baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAJALA MASANJA ANG’ANG’ANIA ULOKOLE

NYOTA wa filamu, Kajala Masanja amesema hawezi kubadili msimamo wake wa kuokoka lichaya kwamba kuna baadhi ya watu wameanza kumsakama kama njia ya kumkatisha tamaa.Msanii huyo alisema kuwa hakukurupuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTARA AGOMA KUOLEWA TENA… asema kuna wanaume wengi wanaotaka kumuoa lakini...

STAA wa Bongomuvi, Wastara Juma, amesema kwa sasa hahitaji ndoa licha ya kuwepo kwa wanaume wanaomfuata, kwa madai kwamba ameshaumizwa vya kutosha.Mwigizaji huyo aliyepitia masaibu mengi ya maisha...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live