KHADIJA KOPA AACHA SIMULIZI SHOO YA ZANZIBAR STARS DDC KARIAKOO
KHADIJA Kopa ambaye ni Malkia wa mipasho anayetikisa barani Afrika, Jumanne iliyopita aliwacharusha vilivyo mashabiki wake ndani ya DDC Kariakoo pale alipopanda jukwaani na kutumbuiza kwa mbwembwe za...
View ArticleSEYDON WA "SIO POA" AMUANIKA MKE WAKE MTARAJIWA
MKALI wa Bongofleva anayetamba sasa na kitu cha ‘Sio Poa’, Said Makamba ‘Seydon’ ameamua kujibu maswali ya mashabiki wake wanaohoji kuwa ataoa lini, baada ya kusema kuwa ameanza harakati za kuingia...
View ArticleVICTORIA SOUND YAPANIA KULITEKA ZAIDI SOKO LA MUZIKI WA DANSI
VICTORIA Sound ‘Wana Chukuchuku Style’ wamepania kuliteka zaidi soko la muziki wa dansi kwa kuhakikisha wanaangusha kazi kali zitakazobamba zaidi kwa mashabiki kote nchini.Jonas Mnembuka ambaye ni...
View ArticleTOTTENHAM YAIFANYIA KITU MBAYA BORUSSIA DORTMUND … Harry Kane kama kawa
Ikicheza kwenye dimba la Wembley, Tottenham imeichakaza timu ngumu ya Borussia Dortmund 3-1 katika mchezo mkali wa Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.Harry Kane aliendelea kung’ara baada ya kupachika mabao...
View ArticleLIVERPOOL MAJI YA SHINGO KWA SEVILLA
Liverpool imelazimishwa sare ya 2-2 na Sevilla ya Hispania katika mchezo wa kundi E wa Champions League.Kwa matokeo hayo Liverpool inakuwa timu pekee kutoka England iliyokosa ushindi katika mechi za...
View ArticleMANCHESTER CITY WEMBE ULE ULE, YAIONYOA FEYNOORD 4-0
Sentahafu kinda John Stones amefunga mara mbili wakati Manchester City ikifanya maangamizi ya bao 4-0 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi.Katika mchezo huo wa Champions League, mabao mengine ya City...
View ArticleCRISTIANO RONALDO AREJEA NA MAKALI YAKE ...Sergio Ramos naye balaa
Cristiano Ronaldo amarejea kwa kishindo kutoka kwenye adhabu yake ya kufungiwa mechi tano baada ya kutupia wavuni magoli mawili wakati Real Madrid ikiichapa APOEL Nicosia 3-0 kwenye mchezo Ligi ya...
View ArticleKASI ALIYOANZA NAYO IBRAHIM AJIBU YANGA YAWASHITUA MASHABIKI WA SIMBA
MASHABIKI wa Simba wameonekana kuanza kushitushwa na kuanza kufunga kwa mshambuliaji wao wa zamani, Ibrahim Ajibu na sasa wanaonekana kukosa raha kila wanaposikia jina la mshambuliaji huyo.Ajibu...
View ArticleISCO AKANA KUKUTANA NA MOURINHO KUHUSU UHAMISHO WA KUTUA UNITED
KIUNGO wa timu ya Real Madrid, Isco amesema hakuwahi kukutana na Jose Mourinho ili kuzungumzia uhamisho wa kwenda Manchester United.Isco amesaini mkataba mwingine Real Madrid huku taarifa zikidai...
View ArticleKOCHA WA MBAO FC AANZA VISINGIZIO MCHANA MCHANA
KOCHA wa timu ya Mbao FC, Etienne Ndayiragije amesema kuwa sababu ya kuanza kwa kusuasua kwa kikosi chake ni uwepo wa namba kubwa ya wachezaji vijana ambao hawana uzoefu na michuano ya Ligi.Kocha huyo...
View ArticleGUARDIOLA ASIKITIKA KUMKOSA BEKI JONNY EVANS ALIYETUA WEST BROM
KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameripotiwa kuonyesha kusikitishwa kwake na kitendo cha kumkosa beki Jonny Evans.Manchester City ilikuwa ikimwania beki huyo kwa nguvu lakini klabu ya West Brom...
View ArticleOKWI SASA YUKO GADO KUWAGONGA MWADUI FC
MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi yuko fiti kupambana katika mechi ya Jumapili hii dhidi ya wachimba almasi wa Mwadui FC kwenye uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam.Habari kutoka katika kambi ya...
View ArticleLWANDAMINA ADUWAZWA NA UWANJA WA NJOMBE, AISHANGAA TFF
KOCHA wa Yanga, George Lwandamina ameshangazwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuruhusu soka kuchezwa katika uwanja wa Sabasaba mkoani Njombe kisha akawaambia mashabiki wa Yanga “Tulieni, dozi za...
View ArticleARSENAL 'WAZEE WA ALHAMISI' WAANZA NA MKWARA MZITO EUROPA LEAGUE ...Everton...
Arsenal imeanza kwa kishindo michuano ya Europa League baada ya kuitungua Colgne ya Ujerumani 3-1 ndani ya dimba la Emirates ambalo lilitawaliwa na vurugu nyingi za mashabiki wa Colgne waliosafiri na...
View ArticleAGUERO NA JESUS 'PACHA' HATARI ZAIDI PREMIER LEAGUE
Wakati hapo mwanzo ilihofiwa kuwa mmoja wao angeusugua benchi, hatimaye imebainika kuwa washambuliaji Sergio Aguero na Gabriel Jesus wa Manchester City ndio pacha hatari zaidi Premier...
View ArticlePOGBA KUKOSA ZAIDI YA MECHI NNE ZA MANCHESTER UNITED …Ufaransa pia kumkosa...
Habari hizi si njema kwa Manchester United. Kiungo Paul Pogba atakuwa nje ya dimba kwa mwezi mzimma baada kuumia kuumia misuli ya paja wakati wa mechi ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Basel...
View ArticleMARCUS RASHFORD ALIA NA PENGO LA PAUL POGBA
Mshambuliaji kinda wa Manchester United Marcus Rashford amesema kuumia kwa Paul Pogba ni pengo kubwa lakini anaamini ukubwa wa kikosi cha Muorinho utasaidia kupunguza makali ya pengo hilo.Pogba ameumia...
View ArticleREAL MADRID BADO WANG'ANG'ANA NA SAINI YA DAVID DE GEA
ULE msemo wa “atafutae hachoki na akichoka keshapata” unaweza kutumika vizuri kwa Real Madrid ambao wamepanga kurejea kwa kishindo mwezi Januari wakisaka saini ya De Gea.Real Madrid kwa muda mrefu...
View ArticleABDI BANDA AZIDI KUTAKATA AFRIKA KUSINI
BEKI wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Hassan Banda ameonekana kuwa lulu katika kikosi chake cha Baroka FC ya nchini Afrika Kusini alikohamia akitokea Simba na sasa amekuwa akipiga dakika zote tisini...
View Article"MNENE" WA REAL MADRID AKIRI KUMSAJILI LIONEL MESSI NI SHUGHULI PEVU
BOSI wa Real Madrid, Frolentino Perez amesema kuwa suala la kumsajili staa wa Barcelona, Lionel Messi haliwezi kutokea kirahisi.Perez amesema kuwa kipindi cha nyuma wakati Messi anakua, walikuwa na...
View Article