Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

GUARDIOLA ASIKITIKA KUMKOSA BEKI JONNY EVANS ALIYETUA WEST BROM

$
0
0
KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameripotiwa kuonyesha kusikitishwa kwake na kitendo cha kumkosa beki Jonny Evans.

Manchester City ilikuwa ikimwania beki huyo kwa nguvu lakini klabu ya West Brom ikataja dau kubwa.


Hata hivyo, klabu hiyo inaweza kufufua mpango huo katika dirisha la Januari, mwakani.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>