Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA WA BUNGE AWADHIHAKI YANGA KWA KUWAITA "4G"

SPIKA wa bunge la Jamhuli ya Muungano wa Tanzania, mh. Job Dungai juzi katika kikao cha bunge aliwatupia dongo Yanga ambao mwishoni mwa wiki iliyopita walichalazwa mabao 4-0 na MC Alger ya Algeria na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REHEMA TAJIRI ATOA SOMO ZITO KWA WASANII WA FILAMU BONGO... ammiminia sifa...

WASANII wa filamu Bongo wameshauriwa kuanza kuandaa kazi zitakazowavutia mashabiki na kuwafanya wasahau habari za Tamthilia za kutoka nje ya nchi na kurudisha mawazo yao katika muvi za nyumbani.Ushauri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSONDO NGOMA SASA KILA ALHAMISI NI EQUATOR GRILL MTONI KWA AZIZI ALLY

KILA Alhamisi kuanzia wiki ijayo, wakongwe wa muziki wa dansi, Msondo Ngoma Music Band watapatikana ndani ya Equator Grill, Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam, imefahamika.Bosi wa Equator Grill,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARMONIZE, RICH MAVOKO WAACHIA WIMBO WA PAMOJA UITWAO "SHOW ME"

MARAPA  wa Bongofleva Harmonize na Rich Mavoko ambao wanafanya kazi chini ya lebo ya Wasafi Class Baby, wameachia wimbo wa pamoja unaojulikana kwa jina la "Show Me."Kampuni ya Wasafi ambayo inaongozwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA LWANDAMINA AAPA KUIPIGANIA YANGA MICHUANO YA KIMATAIFA MSIMU UJAO

KOCHA wa timu ya Yanga, Geogre Lwandamina raia wa Zambia amesema kuwa watafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanarejea tena kwenye michuano ya kimataifa msimu ujao.Yanga inakamata nafasi ya pili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAVY KENZO WAENDELEA KUTESA NA SHOO ZA KIBABE NCHINI ISRAEL

KUNDI la Wapenzi la Navy Kenzo linaendelea kufanya vyema kwenye shoo zake chini Israel na kuteka hisia za mashabiki wake katika jiji la Tel Aviv.Wamemaliza kufanya tamasha katika ukumbi wa Club Barie...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROMA MKATOLIKI ASHAURIWA KUSAHAU TUKIO LA KUTEKWA NA KUGANGA YAJAYO

RAPA Bill Nass amemtaka mwanamuziki mwenzie wa Bongofleva Roma Mkatoliki kusahau tukio la kutekwa na na upiga kazi yake ya muziki kama kawaida.Akizungumza na saluti5, Bill Nass alisema kuwa hakuna haja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAUL SCHOLES ASEMA MARCUS RASHFORD NI ANGA ZA CRISTIANO RONALDO NA NEYMAR

Kiungo wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amesema  mshambuliaji kinda wa klabu hiyo, Marcus Rashford ana vigezo vyote vya kufikia uwezo  Cristiano Ronaldo na  Neymar. Rashford amefunga magoli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEGGE ASEMA MASHABIKI HAWAJAELEWA MAANA YA WIMBO WAKE MPYA WA "GO DOWN"

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Chege Chigunda amesema kuwa watu bado hawajauelewa wimbo wake mpya wa "Go Down" ambao ameufanya na rafiki yake mkubwa, Mheshimiwa Temba.Chege alisema kuwa licha ya watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPA WA AFRICAN LYON ANUKIA YANGA... atishia uwepo wa Barthez kikosini

YANGA ipo kwenye hatua nzuri ya kumnasa kipa hatari wa Africon Lyon, Youthe Rostand ambaye anatakiwa katika kikosi hicho kuja kuwapa changamoto wenzake wawili.Taarifa kutoka ndani Yanga zinasema kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘WEEKEND BONANZA’ YAWAPA ZA USO MARAPA WA DANSI WALIOKIMBILIA SINGELI

Marapa wa muziki wa dansi waliojitosa kwenye muziki wa singeli wamefananishwa na watu waliofilisika mawazo.Hayo yalisemwa jana usiku kupitia kipindi cha Weekend Bonanza cha Clouds FM ambapo marapa hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMUZIKI HUYU ANATOA TASWIRA GANI KWA ‘MITUNGI’ HII YA MWENDO KASI?

Hii ni picha mwezi Machi mwaka huu, Jumapili fulani katika mji wa Dodoma ndani ya ukumbi wa Victoria Pub.Pichani ni mwanamuziki mwenye vidole hatari kwa kuchambua nyuzi za gitaa la solo na rhythm, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE MOURINHO AMKUMBUKA ROONEY …Rashford aanzia benchi

Kocha Jose Mourinho amemwanzisha Rooney kwenye mchezo Premier League dhidi ya Burnley.Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Rooney kuwa kwenye kikosi kinachoanza tangu sikukuu ya Christmas.Mourinho amefanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANTHONY MARTIAL NA ROONEY PROVE WATHIBITISHA KUNA MAISHA BILA IBRAHIMOVIC

Anthony Martial na Wayne Rooney wamethibitisha kuwa Manchester United bado ni imara bila Zlatan Ibrahimovic ambaye atakosa msimu mzima uliobakia baada ya kuumia goti.Washambuliaji hao wawili kila mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER CITY KUMALIZA MSIMU MIKONO MITUPU, YANG’OLEWA FA CUP NA ARSENAL...

Manchester City imetupwa nje na Arsenal katika michuano ya FA Cup baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa Wembley na kwenda hadi 'extra time'.Hii ni dalili tosha kuwa Manchester...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL HOI KWA CRYSTAL PALACE …Christian Benteke aweka apeleka kilio Anfield

Christian Benteke mshambuliaji wa zamani wa Liverpool aliyetemwa na kocha Jurgen Klopp, amerejea  Anfield na kuwaadhibu waajiri wake wa zamani kwenye mchezo wa Premier League.Akiichezea Crystal Palace,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAO LA MARTIAL LAJA NA ‘MAUMIVU’ …MANCHESTER UNITED KUILIPA MONACO PAUNI MIL...

Manchester United italazimika kuandika hundi ya pauni milioni 8.5 kwenda klabu ya Monaco baada ya Anthony Martial kufikisha goli lake la 25.Sehemu ya mkataba wa uliofikiwa wakati United ikimnunua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCELONA YAONGOZA LIGI BAADA YA KUICHAPA REAL MADRID … Sergio Ramos alambwa...

Barcelona inaongoza La Liga kwa tofauti ya magoli baada ya kuinyuka Real Madrid 3-2 katika ‘El Clasico’ iliyopigwa Santiago Bernabeu.Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi aliyekuwa akichezewa rafu za mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE AUITA UONGOZI WA SIMBA NA KUTETA NAO OFISINI KWAKE

UONGOZI mzima wa klabu ya Simba jana umefanya kikao na waziri mwenye dhamana ya michezo Dk. Harrison Mwakyembe mjini Dodoma.Taarifa ya Wiziri ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo kupitia ukurasa wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA WAVU MAGEREZA YAPANIA UBINGWA WA MUUNGANO

KOCHA mkuu wa timu ya mpira wa wavu Magereza ya jijini Dar es Salaam, Edwin Masinga amepania kuibuka na ubingwa wa mashindano ya kuwania Klabu Bingwa ya Muungano.Mashindano hayo yanaendelea kutimua...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>