Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEMU AMPONZA MCHEZAJI NEW ZEALAND… apigwa marufuku kucheza mchezo mmoja baada...

MCHEZAJI wa timu ya Raga ya New Zealand, Aaron Smith amepigwa marufuku kucheza mchezo mmoja baada ya kuingia msalani na mwanamke katika uwanja wa ndege mjini Christchurch.Hiyo ni kinyume na kanuni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA YAJIPANGA KUMNYAKUA OSCAR DE MARCOS WA ATHLETIC BILBAO

IMEELEZWA kuwa matajiri wa magharibi mwa London, Chelsea wanataka kumsajili staa wa Athletic Bilbao, Oscar de Marcos.Tarifa zimedai kuwa De Marcos anatarajiwa kutua Stanford Bridge wakati wa dirisha la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA MIKE PHELAN KUKABIDHIWA MIKOBA YA STEVE BRUCE

BAADA ya kuchukua kwa muda kibarua cha Steve Bruce, kocha Mike Phelan anatarajiwa kukabidhiwa rasmi kibarua hicho.Baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa, wamiliki wa klabu hiyo wanataka kumpa mkataba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIUNGO JOEY BARTON WA RANGERS YA SCOTLAND MATATANI KWA KUCHEZA KAMARI

KIUNGO wa klabu ya Rangers ya Scotland, Joey Barton anakabiriwa na adhabu kwa kucheza kamari kinyume na sheria za soka nchini humo.Barton anatuhumiwa na chama cha soka nchini Scotland kwa kuweka dau...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEST BROM YAANZA KUTETA NA BEKI MARTHIN CACERES WA JUVENTUS

KLABU ya West Brom imeanza mazungumzo ya kumsajili beki Martin Caceres na tayari wameanza mazungumzo na klabu yake ya Juventus.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WESTHAM UNITED KUMSAJILI JUMLA SIMONE ZAZA WA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Westham United wanaruhusiwa kumsajili Simone Zaza ikiwa ataichezea klabu hiyo kwa mechi 10. Zaza alitua kwa mkopo Westham akitokea serie A alikokuwa akikipiga katika klabu ya Juventus.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER UNITED YAMCHEFUA ILKAY GUNDOGAN

KIUNGO wa Manchester City, Ilkay Gundogan ameiita Manchester United timu isiyo na adabu kwa kitendo ilichomfanyia Mjerumani mwenzake, Bastian Schweinsteiger.Schweinsteiger alijiunga na Man United...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER CITY KUMLAMBISHA FERNANDINHO MKATABA MPYA

KWA mujibu wa taarifa, ni siku chache tu zimebaki kabla ya kiungo Fernandinho kupewa mkataba mpya na mabosi wake Manchester City.Mkataba wa sasa wa Mbrazil huyo wa Man City unakaribia kufikia tamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL YACHEMKA KWA ELSEID HYSAJ WA NAPOLI

IMERIPOTIWA kuwa Arsenal wameshindwa kumsajili staa wa Napoli, Elseid Hysaj.Kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo, Hysaj ameshasaini mkataba mpya na waajiri wake Napoli.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TYSON FURY ASEMA ANATUMIA “PODA” ILI KUJILIWAZA NA “USAKARA”

BINGWA wa ndondi katika uzani mzito duniani, Tyson Fury amesema amekuwa akitumia cocaine ili kumsaidia kukabiliana na matatizo ya kiakili.Bondia huyo wa Uingereza amesema kuwa amekuwa akiugua ugonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MESUT OZIL ATAMANI KUREJEA SANTIAGO BERNABEU

SIRI imefichuka kuwa licha Arsenal kuwa kwenye mazungumzo ya kumpa mkataba mpya staa wake Mesut Ozil, nyota huyo anataka kurejea Santiago Bernabeu.Kabla ya kutua Emirates, Mjerumani huyo alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID MBIONI KUMNASA GELSON MARTINS WA SPORTING LISBON

WABABE wa Ligi Kuu Hispania, Real Madrid wamekita kambi nchini Ureno wakitaka kumsajili nyota Gelson Martins anayekipiga Sporting Lisbon.Madrid wanataka kuinasa saini ya kinda huyo mwenye umri wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURNLEY YAJIPANGA KUMWONGEZEA MKATABA MPYA MICHAEL KEANE

KLABU ya Burnley imeanza mazungumzo ya kumpa mkataba mpya beki wake wa kati, Michael Keane.Keane mwenye umri wa miaka 23 amebakiza miaka miwili katika mkataba wake wa sasa na Burnley.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DANNY ROSE ADAI ALAN SHEARER ALIKUWA SAHIHI KUSEMA UINGEREZA INATAPATAPA

BEKI wa kushoto wa timu ya taifa ya Uingereza, Danny Rose amesema Alan Shearer alikuwa sahihi kusema kuwa timu hiyo ya taifa itapatapa baada ya kujiuzulu kwa meneja Sam Allardyce.Anasema kuwa sio jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATTEO DARMIAN AIVUTIA INTER MILAN

WATAWALA wa zamani wa soka la talia, Inter Milan wanavutiwa na mpango wa kumsajili staa wa Manchester United, Matteo Darmian.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CONTE AHAKIKISHIWA LEONARDO BONUCCE JUVENTUS ATATUA STANFORD BRIDGE JULAI

MMILIKI wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich amedai kuwa atashughulikia uhamisho wa beki Leonardo Bonucce anayekipiga Juventus.Tajiri huyo amemhakikishia kocha Antonio Conte kuwa mlinzi huyo raia wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMPHIS DEPAY AJIFANANISHA NA ZLATAN IBRAHIMOVIC

WINGA wa Manchestr United, Memphis Depay amejifananisha na straika mpya wa klabu hiyo, Zlatan Ibrahimovic.Depay anajifananisha na mkongwe huyo licha ya kucheza mechi tatu pekee tangu kuanza kwa msimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WABAGUZI KUFANYA MAZOEZI NA WANAWAKE

WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya Sparta Prague wameambiwa kufanya mazoezi na timu ya wanawake baada ya kutoa matamshi ya kiubaguzi dhidi ya maafisa wanawake wanaosimamia mechi.Kipa Tomas Koubek...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SANT CAZORLA ACHEKELEA MKATABA MPYA ARSENAL

KIUNGO wa kimataifa wa Hispania anayekipiga Arsenal, Sant Cazorla amedai kuwa angefurahi kupewa mkataba mpya na klabu hiyo.Kauli ya nyota huyo mwenye umri wa miaka 31 inakuja huku kukiwa na taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVOCK ORIGI ASEMA HAKERWI KUSUGULISHWA BENCHI LIVERPOOL

STRAIKA wa Liverpool, Divock Origi amedai kuwa hakerwi na kitendo cha kocha wake kumpiga benchi na badala yake anachokitaka ni ushindi wa timu.Katika mechi saba za Ligi Kuu England, Origi ametokea...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>