Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

MESUT OZIL ATAMANI KUREJEA SANTIAGO BERNABEU

$
0
0
SIRI imefichuka kuwa licha Arsenal kuwa kwenye mazungumzo ya kumpa mkataba mpya staa wake Mesut Ozil, nyota huyo anataka kurejea Santiago Bernabeu.


Kabla ya kutua Emirates, Mjerumani huyo alikuwa akikipiga katika kikosi cha mabingwa hao wa La Liga.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles