WASAMBAZAJI FILAMU INDIA WAFANYA MGOMO BARIDI "KUWAKATAA" WAPAKISTAN
WASAMBAZAJI wa kazi za sanaa nchini India wameamua kutozingiza sokoni filamu zote za wasanii wa Bollywood ambazo zimewashirikisha wasanii kutoka nchini Pakistan.Uamuzi huo uliofikiwa na Indian Motion...
View ArticleHANNOVER YAMWINDA BEKI PER-MERTESACKER WA ARSENAL
BEKI wa kati wa Arsenal, Per-Mertesacker, yuko kwenye rada za klabu ya Hannover ya Ujerumani.Hannover wanataka kumsajili mkali huyo ambaye aliwahi kukipiga klabuni hapo miaka kadhaa iliyopita.
View ArticleNEW VIDEO: TAZAMA BONGE LA VIDEO YA WIMBO “STAREHE” KUTOKA KWA FAMILY TEAM
MOJA ya vitu vinavyoleta changamoto bab kubwa katika maeguzi ya muziki wa dansi ni huu wimbo “Starehe” kutoka kwa kundi la Family Team.Wimbo huo uliotoka katika njia ya audio miezi michache iliyopita,...
View ArticleWEWE NI MWANAMUZIKI WA DANSI? CHANGAMKIA FURSA HII KUTOKA CHOICE FM
KIPINDI cha Choice Bambataa cha kituo cha radio cha Choice FM cha jijini Dar es Salaam, kinakuja na mkakati mzuri wa kuunyanyua muziki wa dansi.Choice Bambataa kimesema moja ya hatua zao za kuusukuma...
View ArticleBENTEKE AWEKA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA WAKATI UBELGIJI IKIUA 6-0
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool Christian Benteke ameweka rekodi mpya kwa kufunga goli la mapema zaidi katika historia ya Kombe la dunia.Benteke amefanya hivyo katika mchezo wa kundi H wa kuwania...
View ArticlePOBGA AFANYA VITU ADIMU, APIGA BAO LA MITA 30 NA KUIPA POINTI 3 UFARANSA...
MKWAJU wa Paul Pogba wa mita 30 ulitosha kuipatia Ufaransa pointi tatu muhimu dhidi ya Holland katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kupitia kundi A.Kiungo huyo wa Manchester United mwenye thamani ya...
View ArticleMASHAUZI CLASSIC KUMAVIA MORO OKTOBA 28 …Dodoma Oktoba 29, Singida na Igunga...
KUNDI la Mashauzi Classic litamimina uhondo wao kwa wakazi wa mji wa Morogoro Ijumaa ya tarehe 28 mwezi huu.Mkurugenzi wa bendi hiyo Isha MMashauzi ameiambia Saluti5 kuwa onyesho hilo litafanyika ndani...
View ArticleJESSE LINGARD AINGIA MAWAZONI MWA RASHFORD MANCHESTER UNITED
WINGA wa Manchester United, Jesse Lingard amesema straika yosso wa timu hiyo, Marcus Rashford haathiriwi na presha na kwamba atazidi kuwa mkali kwa klabu na timu yake ya taifa ya England.
View ArticleKOCHA UFARANSA AKIRI POGB ALICHEMSHA MECHI DHIDI YA BULGARIA... amtaka...
KOCHA wa timu ya taifa Ufaransa, Didier Deschamps ameafiki kuwa kiungo wake, Paul Pogba alichemsha kwenye mechi ya ushindi ya Bulgaria mwishoni mwa wiki iliyopita na kumtaka kuboresha kiwango chake.Les...
View ArticleJAMES RODRIGUEZ AENGULIWA TIMU YA TAIFA COLOMBIA KWA MAJERAHA YA KIAZI CHA MGUU
NYOTA wa timu ya taifa ya Colombia James Rodriguez ameenguliwa katika kikosi hicho kutokana na kuumia kiazi cha mguu.
View ArticleALEXANDER HLEB AAMINI ARSENAL YA MWAKA HUU ITAZOA MATAJI MATATU
KIUNGO wa Arsenal Alexander Hleb anaamini kuwa kikosi cha sasa cha kocha Arsene Wenger kina uwezo wa kushinda mataji matatu msimu huu.Gunners wamekuwa na mwanzo mzuri msimu huu wakiwa nyuma kwa pointi...
View ArticleMAJERUHI BACARY SAGNA WA UFARANSA AJIIULIZA KUHUSU JERAHA LAKE
BEKI wa kulia wa timu ya taifa ya Ufaransa, Bacary Sagna, 33, hana hakika kama maumivu ya misuli ya nyama za paja aliyoyapata dhidi ya Bulgaria katikati ya wiki ni makubwa sana.
View ArticleROMELU LUKAKU AMFAGILIA KOCHA THIERRY HENRY
STRAIKA wa Ubelgiji, Romelu Lukaku amekubali uwezo wa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Thierry Henry na kuongeza kuwa ana mengi ya kujifunza kutoka kwa mkongwe huyo wa Arsenal.Lukaku...
View ArticleMAJERUHI JORDI ALBA NJE KWA SIKU 10... kurejea kuvaana na Manchester City
BARCELONA wametangaza kuwa Jordi Alba atakuwa nje ya uwanja kwa siku 10 kutokanana maumivu ya paja jambo linalomaanisha atarejea kuwavaa Man City.
View ArticleINIESTA AFICHUA SIRI YAKE NA KOCHA PEP GUARDIOLA
NAHODHA na kiungo wa mabingwa wa soka nchini Hispania FC Barcelona, Andres Iniesta amefichua siri iliyokuwa ikiendelea kati yake na meneja wa sasa wa Manchester City, Pep Guaridiola wakati wa usajili...
View ArticleAUBAMEYANG KUCHOMOKA BORUSSIA MWISHONI MWA MSIMU... Manchester City, Chelsea...
STRAIKA Pierre-Emerick Aubameyang aondoka Borussia Dortimund mwisho wa msimu huku akiwindwa na klabu za Manchester City na Chelsea.
View ArticleLIVERPOOL YATHIBITISHA KUENDELEA KUMFUKUZIA ANDREA RANOCCHIA
KLABU ya Liverpool imethibitisha kuwa mpango wao wa kumwania beki Andrea Ranocchia unaendelea kufanywa chinichini ila kwa uhakika mkubwa.Taarifa za ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa uongozi wa...
View ArticleSANTI CAZORLA ASEMA ANAVYODHANI WENGER BADO YUPOYUPO SANA TU ARSENAL
KOCHA Arsene Wenger haonyeshi dalili yayote kwamba ataondoka Arsenal licha ya mkataba wake kuwa utamalizika mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa kiungo Santi Cazorla.
View ArticleREAL MADRID, BARCELONA WAPIGANA VIKUMBO KUMWANIA VICTOR LINDELOF
KLABU mahasimu katika La Liga, Real Madrid na Barcelona zimeingia katika vita vya usajili wa msimu ujao na kujikuta wakimwania kwa pamoja Victor Lindelof.Pamoja na vigogo hao wa Ligi ya Hispania, pia...
View Article"MICHEPUKO" YADAIWA KUSHUSHA KIWANGO CHA ANTHONY MARTIAL MAN UNITED
KUSHUKA kwa kiwango cha Anthony Martial klabuni Manchester United msimu huu kumehusishwa na kuachana na mpenziwe aliyedumu naye kwa miaka mingi, Samantha Jacquelinet, kufuatia straika huyo kuchepuka.
View Article