Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUBWA YAMKUTA ROONEY, KIBANO CHA MIAKA MIWILI NA FAINI JUU YAKE

Wayne Rooney anakabiliwa na faini kubwa kutoka kwa klabu yake ya Everton baada ya kukiri makosa ya kuendesha gari huku akiwa amelewa.Rooney amekubali kosa hilo mahakamani Jumatatu asubuhi kufutia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REKODI YA AINA YAKE!!! JOSE MOURINHO HAFUNGIKI SIKU ZA JUMAPILI UWANJA WA...

Siku ya Jumapili imeendelea kuwa ya neema kwa Jose Mourinho pale anapocheza kwenye uwanja wa nyumbani.Kocha huyo Mreno jana aliiongoza Manchester United kuishindilia Everton 4-0 kwenye dimba la Old...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALI YA FABREGAS YAFUFUKA CHELSEA

Baada ya msimu uliopita kumalizika huku akiwa mchezaji kutokea benchi,  Cesc Fabregas amerejea kwenye makali yake na sasa ni moja ya majina ambayo hayakosekani kwenye kikosi kinachoanza cha  Antonio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GABRIEL JESUS AWEKA HISTORIA MPYA YA MAGOLI PREMIER LEAGUE

Gabriel Jesus anaelekea kujiwekea historia ya aina yake kwenye Premier League baada ya kuanza msimu kwa kasi ya ajabu. Unapohesabu wachezaji wenye magoli 10 kwenye Premier League, Jesus anakusanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NTAMBA BAND WAINGIA KAMBINI KUANDAA KAZI MPYA

NTAMBA Band iliyo chini ya tabibu Ntamba na Mungu iko kambini ikijiandaa na ujio mpya wa kishindo, kwa mujibu wa kiongozi wa kundi hilo, Okaroba Omega.Hivi sasa Ntamba Band inayojumuisha vijana wanne...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JADO FFU ASEMA “NITAZIDI KUPAMBANA NA HALI YANGU”

BOSI wa Dar Musica, Jado FFU amefunguka na kusema kuwa, pamoja na vikwazo anavyokumbana navyo kadri anavyojitahidi kupiga hatua, lakini atahakikisha hakati tamaa ili kuyafikia kikamilifu malengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOTO AWASHUSHUA WANAODAI BONGOMUVI IMEPOTEZA MWELEKEO

MKALI wa muvi za Kibongo ambaye ni hodari kwa kuvunja mbavu, Haji Salum “Mboto” ameendelea kupingana na wale wanaodai kuwa tasnia ya filamu imepoteza mwelekeo kwa kusema kuwa fani hiyo bado iko katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAINA BAND YAJINASIBU KUACHA SIMULIZI MASTERS CLUB JUMAMOSI HII

JUMAMOSI hii, kama kawaida ya Maina Band, burudani isiyo na mfano itaendelea kuunguruma ndani ya kiwanja chao cha kujidai cha Masters Club, jijini Dar es Salaam.Bosi wa maina Band, Liston Maina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA BAND FESTIVAL YAWEKA HISTORIA MPYA KWENYE MUZIKI WA DANSI

Lile tamasha la muziki wa dansi lililopewa jina la Tanzania Band Festival linarejea tena mwaka huu, lakini safari hii linakuja kivingine.Kwa mara ya kwanza, Tanzania Band Festival ilifanyika mwezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEYMAR NA CAVANI BIFU LAO HALIKUISHIA UWANJANI, UGOMVI ULIKWEND HADI VYUMBANI

Neymar na Edinson Cavani walilazimika kutengenishwa na wachezaji wenzao wa Paris Saint-Germain kufuatia mgogoro wao wa kugombea kupiga mipira ya adhabu.Washambuliaji hao wawili wa bei mbaya walionekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PIGO ARSENAL ...DANNY WELBECK NJE MWEZI MZIMA

Mshambuliaji nyota wa Arsenal Danny Welbeck atakuwa nje ya uwanja kwa wiki tatu hadi nne baada ya kuumia kwenye mchezo wa sare ya 0-0 dhidi ya Chelsea Jumapili mchana.Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI WA MIAKA SITA AKIRI KUKOSESHWA RAHA NA CHATU ANAOCHEZEA MAMA YAKE MZAZI

MTOTO Ruti Samson (6), ambaye ni mkali wa sarakasi amefunguka kuwa anaogopeshwa mno na nyoka ambao mama yake mzazi, Neema Maganga huwa anapendelea kucheza nao mara kwa mara jukwaani.Ruti ambaye anasoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TALENT BAND YAINGIA KAMBINI KUPIKA ALBAMU YA TANO

BOSI wa Talent Band, Hussein Jumbe “Mzee wa Dodo” ameingia kambini na vijana wake kwa ajili ya kutayarisha albamu mpya wanayotarajia kuifyatua baadaye mwaka huu.Hiii itakuwa ni albamu ya tano ya bendi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JB NAE SASA AUCHOKA "UBONGENYANYA"... atamani kurejea kuwa kimbaumbau

MIEZI michache baada ya mkali wa Bongofleva, Peter Msechu kutangaza kuwa yupo kwenye mkakati wa kupunguza uzito wa mwili wake, nae msanii mwingine wa Bongomuvi, Jacob Stephen "JB" ameibuka na kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JADO FFU ASAKA RAFIKI ANAYEWEZA KUPIGANA NA MAISHA

BOSI wa Bendi ya Dar Musica, Jado FFU amesema kuwa mwanaume wa ukweli anatakiwa kujiamini kwanza na awe mtafutaji asiyechoka, kama ilivyo kwa upande wake yeye.Jado amesema kuwa binafsi anamtanguliza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANJIBAI WA SINGELI ALILIA AMANI BONGO

MSANII anayekuja juu kwa kasi katika muziki wa singeli Bongo, Mussa Juma ‘Kanjibai’, Jumamosi hii anatarajiwa kutambulisha ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Amani’, ambayo mwenyewe anaisifu kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIKIMUONA" YA PEACE MAPEPE KUANIKWA RASMI IJUMAA HII

MKALI wa Bongofleva, ‘Peace Mapepe’ amesema kuwa mkakati wake mkubwa katika muziki ni kuhakikisha anafika mbali zaidi na kutambulika hadi nje ya mipaka ya nchi na kujijengea jina zaidi.Kesho Ijumaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMILIKI WA KISUMA BAR AFARIKI DUNIA …ngome ya Talent Band, Msondo na Sikinde

Mmiliki wa Kisuma Traders inayomili bar kibao za Kisuma zinazoongoza kwa ‘kuukarimu’ muziki wa dansi Fulgence Urio (pichani) amefariki ghafla Jumatatu usiku.Kifo cha Urio ni pigo kubwa kwa muziki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WA BARCELONA WAMFARIJI DEMBELE ATAKAYEKAA NJE YA DIMBA KWA MIEZI...

Wachezaji wa Barcelona walivaa fulana za kumpa moyo mshambuliaji mpya wa klabu hiyo Ousmane Dembele ambaye ameuamia na atakosekana uwanjani kwa miezi mitatu na nusu.Katika mchezo wa ushindi dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BM RECORDS STUDIO YAWAITA WASANII KUINGIA "LEBO"

BM Records Studio ya Kigogo Luhanga, jijini Dar es Salam imeendelea kuwataka wasanii wa miondoko mbalimbali ya muziki kujitokeza Studioni hapo kwa ajili ya kujiunga na lebo yao.Mkurugenzi wa BM...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>