TWANGA PEPETA, BEKA FLAVOUR, SNURA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘FULLDOZI’ DAR LIVE...
Miamba ya muziki wa dansi The African Stars “Twanga Pepeta” ni miongoni mwa burudani kubwa zitakazopatikana Dar Live Mbagala Jumamosi hii katika tamasha la Fulldozi lililoandaliwa na ITV, Radio One na...
View ArticleBEN POL ASHUKA NA KIDUME SAMBAMBA NA ALBAM MPYA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Benard maarufu kama “Ben Pol” ameamua kuachia albamu yenye nyimbo 15, iitwayo “The Best of Ben Pol” itakayoanza kuwa mtaani Ijumaa hii. Mkali huyo wa RnB Septemba 8...
View ArticleMSAFIRI DIOUF ATUA BONGO KWA MAPUMZIKO …kuachia tatu mpya
Rapa na mwimbaji wa zamani wa Twanga Pepeta Msafiri Diouf ambaye kwasasa anafanya muziki London, Uingereza, amerejea Bongo kwa mapumziko mafupi.Diouf ameiambia Saluti5 kuwa aliingia Dar es Salaam juzi...
View ArticleRITA DOMINICK WA NOLLYWOOD AWAKUMBUKA MACHOKORAA
MWIGIZAJI wa kike nchini Nigeria, Rita Dominick amesema kuwa yupo mbioni kuja na mipango maalum wa kuwasaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi.Rita amesema kuwa wapo watoto wengi kwenye...
View ArticleMKONGWE WA NOLLYWOOD AMPONDA GENEVIEVE
STAA mkongwe, Ego Boyo amekuwa kimya kwa muda mrefu baada ya kujiweka kando na kazi za sanaa lakini hivi karibuni ameibuka na kuanza kuponda baadhi ya mastaa wakubwa wa filamu nchini Nigeria.Ego...
View ArticleMABUSU YA RAMSEY NOAH YAMPAGAWISHA MREMBO WA NOLLYWOOD
STAA wa filamu za Nollywood, mrembo Omoni Oboli amesema kuwa kama kuna wanaume ambao wanamvutia kupiga busu wakati wa kuigiza ni Ramsey Noah.Mrembo huyo pia amemtaja Dismond Eliot kama mwigizaji...
View ArticleLWANDAMINA AWAACHIA AJIB, NGOMA JUKUMU LA USHINDI NJOMBE NA SONGEA
KOCHA wa timu ya Yanga, George Lwandamina raia wa Zambia ameliacha jukumu la kusaka pointi sita ugenini chini ya washambuliaji wake wazoefu, Ibrahim Ajib na Dornald Ngoma mzaliwa wa Zimbabwe.Kocha huyo...
View ArticleMASHABIKI WAPIGANIA "MAISHA" YA MAYANGA STARS
KOCHA wa Taifa Stars, Salum Mayanga amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya mashabiki wa soka kuibua hoja ya kulitaka Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambalo limepata utawala mpya,...
View ArticleJONAS MKUDE AJUTA KUSAINI TENA SIMBA SC... aanza kuikumbuka ofa ya Yanga
SIMBA inazidi kumfanyia unyama nahodha wake wa zamani, Jonas Mkude na taarifa kutoka kwa rafiki zake zinasema kiungo huyo anajuta kusaini klabu hiyo huku akikumbuka ofa ya Yanga.Taarifa kutoka kwa...
View ArticleHAJI MANARA AJIPANGA KULIPUA BOMU SIMBA SC
AFISA Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, siku yoyote anaweza kulipua bomu ambalo kwa muda mrefu limekuwa likitesa na kuidhohofisha klabu hiyo kiuchumi. Kwa muda mrefu sasa Simba imekuwa ikikosa...
View ArticleTAREHE YA KUFUNGA DIRISHA LA USAJILI ENGLAND YABADILISHWA ...Manchester...
Klabu za Ligi Kuu ya England zimepiga kura na kuidhinisha soko la kuhama wachezaji lifungwe kabla ya msimu kuanza mwaka ujao.Hatua ya klabu hiyo za Premier League ina maana kwamba ingawa klabu zitaweza...
View ArticleYANGA YAPANIA MECHI YAO NA NJOMBE MJI
KOCHA wa Yanga, George Lwandamina amesema kuwa mchezo wao wa pili wa Ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Njombe Mji wameupania na wamejipanga vizuri zaidi ili kuweza kuondoka na point zote tatu.Kocha huyo...
View ArticleWENGER ASEMA HANA MASHAKA NA MSIMAMO WA SANCHEZ
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amemkingia kifua mshambuliaji wake Alexis Sanchez na kusema hana mashaka kuwa nyota huyo atarejea kwenye makali yake.Sanchez, 28, alikaribia sana kuhamia Manchester City...
View ArticleSIMBA YAWEKA MKAKATI WA KUMBADILISHA MAVUGO KISAIKOLOJIA
MSHAMBULIAJI aliyesajiliwa na Simba kwa mbwembwe nyingi, Laudit Mavugo amegeuka pasua kichwa baada ya kuwa na mwendo mbovu katika baadhi ya mechi alizocheza hivi karibuni ikiwemo dhidi ya Hard Rock ya...
View ArticleWACHEZAJI SIMBA SC WASEMA "HATUNA WASIWASI NA AZAM JUMAMOSI"
SIMBA wanatarajiwa kuwa wageni wa Azam kwenye pambano la Ligi kuu ambalo litapigwa Jumamosi hii katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jijini Dar es Salaam.Wachezaji wa Simba wameyapokea madiliko ya...
View ArticleTSHISHIMBI ASEMA SIMBA HAINA JEURI YA KUZUIA UBINGWA USITUE JANGWANI
KIUNGO mpya wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi amesema kwamba haoni sababu ya mashabiki wa Yanga kuhofia kasi ya watani wao Simba kwa kwani kikosi chao cha wana Jangwani kina ubora wa kutosha kutetea...
View ArticleSIMBA SC KUANZISHA BENKI YAO, KITUO CHA LUNINGA
SIMBA imeamua kuwa klabu ya kwanza hapa nchini kuendeshwa na mfumo wa wanachama wake kununua hisa, lakini pia inataka kuandika historia nyingine kubwa katika medani ya soka barani Afrika.Habari...
View ArticleWENGER ACHEKELEA DIRISHA LA USAJILI ENGLAND KUFUNGWA MAPEMA
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amechekelea mabadiliko yaliyopitishwa na vilabu vya Premier League kubadili tarehe ya kufunga dirisha la usajili.Kuanzia msimu ujao, dirisha la usajili England...
View ArticleMBARAKA YUSUPH AISUBIRI MECHI YAO DHIDI YA SIMBA KUTAFUTIA UJIKO ZAIDI
MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Azam, Mbaraka Yusuph anesema ataitumia mechi yao dhidi ya Simba kutangaza ukubwa wajina lake hapa nchini.Mbaraka ametamba kuonyesha makali yake kwenye mchezo wa Jumamosi...
View ArticleKOCHA POCHETTINO ATETEA ISHARA YA KIDOLE CHA KATI CHA DELE ALLI …asema hata...
Kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino anaamini FIFA itakosea iwapo itamwadhibu Dele Alli kwa ishara yake ya kidole cha kati alichoonyesha kwenye mchezo dhidi ya England Slovakia.Kocha huyo akatania...
View Article