Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

RENATO SANCHES AHESABU SIKU KUTUA MANCHESTER UNITED KWA PAUNI MILIONI 46 ...Ndiyo 'shujaa' mpya wa Ureno baada ya Ronaldo

$
0
0
Manchester United are hoping to complete a £46m deal for Portuguese starlet Renato Sanches

Manchester United inakaribia kukamilisha dili la usajili wa pauni milioni 46 kwa kiungo kinda wa Benfica  Renato Sanches.

United ilikuwa kwenye maongezi ya kina tangu mwezi Januari kwaajili ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 na Alhamisi usiku rais wa Benfica Luis Filipe Vieira alitua London kwaajili ya kukamilisha maongezi ya dili hilo.

Sanches yupo Benfica kwa mkataba wa hadi mwaka 2021 na ana kipengele kinachomruhusu kuondoka kwa pauni milioni 60, lakini inaaminika klabu hiyo iko tayari kupokea pauni milioni 31 mwanzoni mwa dili na milioni 15 baadae.

Kiungo huyo ameichezea Benfica mechi 22 msimu huu na kufunga magoli mawili huku akiitwa timu ya taifa na kuichezea mechi mbili.

Inaaminika Sanches ndiyo kipaji kipya cha kipekee Ureno kinchokuja baada ya Cristiano Ronaldo.

Sanchez na yeye pia anawakilishwa na wakala wa Ronaldo - Jorge Mendes.

The box-to-box midfielder (pictured on the ball) will cost an initial fee of £31m but the move could rise to £46m
Sanchez ananukia United kwa pauni milioni 46
Manchester United raided Portugal for a young player going by the name of Cristiano Ronaldo (right) in 2003
Manchester United ilimsajili kinda wa Ureno enzi hizo Cristiano Ronaldo (kulia) mwaka 2003


Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>