Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

PIGO MANCHESTER UNITED ...PAUL POGBA 'OUT' WIKI TATU

$
0
0

Paul Pogba huenda akakosekana uwanjani kwa wiki tatu au zaidi baada ya kupata maumivu ya misuli ya paja kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Basle.

Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 24 alitolewa dakika ya 19 baada kuumia kwenye harakati za kugombea mpira.

Hii ni mara ya pili kwa Pogba kupata matatizo hayo ndani ya miezi sita  ambapo mwezi Machi aliumia katika mchezo wa Europa League dhidi ya Rostov na akarejea uwanjani baada ya wiki tatu.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>