Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

FENERBAHCE YAMTAKA DIEGO COSTA KWA MKOPO

$
0
0
KLABU ya Fenerbahce ya Uturuki imefanya mazungumzo na wawakilishi wa mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa kuhusu uwezekano wa kumchukua kwa mkopo.

Costa mwenye miaka 28, amesalia nchini Brazil baada ya kugoma kurejea nchini England baada ya kupewa taarifa na uongozi wa klabu.


Mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania alishindwa kuhama kutoka kwa mabingwa hao wa Ligi ya Primier kabla ya siku ya mwisho ya kuhama wachezaji katika Ligi nyingi Kuu Ulaya.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>