Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

PEREZ AGOMA CRISTIANO RONALDO KUSEPA REAL MADRID

$
0
0
RAIS wa Real Madrid, Florentino Perez amefunguka kuwa Cristiano Ronaldo hawezi kuondoka katika timu hiyo kwa miaka ya hivi karibuni.

Perez amekanusha vikali taarifa za majira ya joto kuwa Cristiano Ronaldo alikuwa anataka kuihama klabu hiyo kwasababu ya kuchoshwa na maisha ya Hispania.


Mshambuliaji huyo bora barani Ulaya alikuwa akihusishwa kutaka kurejea katika klabu yake ya zamani ya Manchester United baada ya kuanza kusakamwa na matukio ya ukwepaji kodi na serikali ya Hispania.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>