KIUNGO wa timu ya Napoli, Marek Hamsik mwenye miaka 30, amejuta kushindwa kufanikisha uhamisho wa kutua katika kikosi cha Manchester United baada ya dirisha kufungwa.
Kiungo huyo ameripotiwa akisema kuwa ilikuwa nafasi muhimu kwake kutimiza ndoto ya kuchezea kwenye klabu kubwa lakini mambo yaliharibika dakika za mwishoni.