Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

KUFA KUFAANA ...HERRERA APATA MATUMAINI MAPYA MAN UNITED BAADA YA KUUMIA POGBA

$
0
0


Kuumia kwa Paul Pogba kunaweza kufungua mlango kwa kiungo anayesugua benchi  Manchester United, Ander Herrera.

Kiungo huyo wa Kihispania ana kazi kubwa ya kumshawishi Mourinho ili kurejea kwenye kikosi chaguo la kwanza baada ya kuporwa namba na ujio wa Nemanja Matic.



Herrera, mchezaji bora wa Manchester United msimu uliopita amejikuta yuko nyuma ya Marouane Fellaini katika kipaumbele cha Mourinho msimu huu kwenye safu ya kiungo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>