Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

SON HEUNG-MIN WA TOTTENHAM APIGWA BEI

$
0
0
KOCHA wa Tottenham, Mauricio Pochettino amemuweka sokoni mchezaji wake Son Heung-Min raia wa Korea Kusini.

mchezaji huyo mwenye miaka 23, hajamaliza hata mwaka mmoja tangu atue Tottenham akitokea Bayer Leverkusen ya Ujerumani.

Tottenham ilitoa kiasi cha pauni mil 22 na kocha huyo amesema pia kwamba atapokea ofa za wachezaji Nabil Bentaleb na Ryan Mason 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>