Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

MANCHESTER YAAMBIWA RENATO SANCHES NDIYE MBADALA HALISI WA CRISTIANO RONALDO

$
0
0
Manchester United inapiga hatua za haraka ili kuhakikisha kiungo wa  Benfica Renato Sanches anatua Old Trafford msimu ujao na kuzipiku Real Madrid na Paris Saint-Germain ambazo nazo zinawania saini ya kinda huyo.

Swali sasa ni je Renato Sanchez ana uwezo wa kuichezea timu kama Manchester United? Mchambuzi Goncalo Lopes wa Daily Mail la Uingereza anasema jibu ni "NDIYO".

Goncalo Lopes anasema: "Naamini hakuna 'kipaji' kingine kilichozaliwa Ureno baada ya Cristiano Ronaldo  zaidi ya Sanchez. Renato Sanchez ndiyo mbadala wa Ronaldo".

Manchester United are interested in signing Benfica and Portugal midfielder Renato Sanches (right)
Manchester United inakaribia kumnsa kinda wa Benfica na Ureno Renato Sanches (kulia)
Sanches has been in impressive form for Portuguese outfit Benfica since his promotion to the first team
Sanches amekuwa kwenye msimu mzuri Ureno tangu alipopandishwa kwenye kikosi cha wakubwa cha Benfica

Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>