Quantcast
Channel: saluti5
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI WA CAMEROON AANGUKA UWANJANI NA KUFARIKI DUNIA

Kiungo wa Dinamo Bucharest na Cameroon Patrick Ekeng amefariki dunia muda mfupi baada ya kuanguka uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Romania Ijumaa.Cristian Pandrea, msemaji wa Floreasca Hospital,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUAN MATA AIPAISHA MANCHESTER UNITED, CHELSEA YALALA 3-2, WEST HAM YAPIGWA 4-1

Manchester United imeongeza matumaini ya kumaliza katika 'top four' ili kucheza Champions League msimu ujao baada ya kuilaza Norwich City 1-0 kwa goli la Juan Mata.Mata alimalizia pasi yenye akili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 26: UZINDUZI WA OGOPA KOPA SI MCHEZO, BURUDANI HADI UTOSINI

Ogopa Kopa Classic Band imezinduliwa kwa kishindo usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Dar Live Mbagala ambapo umati mkuwa wa wapenzi wa muziki ulijitokeza kushuhudia tukio hilo muhimu.Bendi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUIS SUAREZ AIPONGEZA LIVERPOOL KUTINGA FAINALI LIGI YA EUROPE

MSHAMBULIAJI wa timu ya Barcelona, Luis Suarez, ameipongeza Liverpool baada ya kutinga hatua ya fainali ya michuano ya Ligi ya Europe. Livepool imetinga katika hatua hiyo baada ya kuichapa Vllarreal...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RONALDO AMMIMINIA SIFA KINDA MARCUS RASHFORD WA MANCHESTER UNITED

Mkongwe wa soka wa zamani Mbrazil, Ronaldo amemmwagia sifa mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford kutokana na uwezo wake. Rashford mwenye umri wa miaka 18, amekuwa mchezaji aliyeweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARETH BALE AITABIRIA MAKUBWA MAN CITY MSIMU UJAO... asema kocha Pep...

STRAIKA wa Real Madrid, Gareth Bale, amesema kuwa Manchester City itakuwa tishio msimu ujao, baada ya kutua kwa kocha Pep Guardiola. Guardiola ameshatia saini kuifundisha timu hiyo kuanzia msimu ujao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMIE VARDY AONGEZA KUJICHORA TATTOO MWILINI MWAKE

MSHAMBULIAJI nyota wa Leicester City, Jamie Vardy, ameongeza tattoo nyingine katika mwili wake. Vardy ameongeza tattoo hiyo ikiwa ni muda mchache kabla ya kikosi chake kubeba ubingwa wa Ligi Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOTTENHAM YAANDAA KITITA KWA AJILI YA HARRY KANE MSIMU UJAO

KLABU ya Tottenham Hotspurs, imejipanga kumfanya nyota wake, Harry Kane kuwa mchezaji anayelipwa fedha nyingi katika kikosi hicho kuanzia msimu ujao. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, anatarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL, MANCHESTER CITY HAKUNA UBABE …LIVERPOOL YASHINDA 2-0, TOTTENHAM...

Manchester City imeshindwa kutumia vema uwanja wake wa nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 na Arsenal katika mchezo mkali wa Ligi Kuu ya England.Sergio Aguero  alikuwa wa kwanza kuwanyanyua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANUEL PELLEGRINI ASEMA SASA ANA MASHAKA JUU YA MANCHESTER CITY KUMALIZA...

MANUEL PELLEGRINI amekiri kuwa na “wasiwasi” kwamba Manchester City inaweza kufeli kumaliza ligi katika ‘top four’ na hivyo kuiacha timu hiyo vibaya - bila nafasi ya kushiriki Champions League kwa mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER CITY WAAMBIWA WALIKUWA WANAZURURA TU UWANJANI DHIDI YA REAL MADRID

STRAIKA wa Stoke City, Jose Luis Sanmartin Mato, aliye maarufu kwa jina la Joselu, amewapiga kijembe mastaa wa Manchester City na kocha wao Manuel Pellegrini kwamba walikuwa “wakizurura” tu uwanjani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIYAD MAHREZ ASEMA BADO YUPO YUPO LEICESTER CITY

RIYAD MAHREZ amewaambia mabosi wa Leicester City kwamba anataka kubaki na kuongoza kampeni ya klabu hiyo katika Champions League msimu ujao.Makamu Mwenyekiti, Top Srivaddhanaprabha ametoa taarifa hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOUIS VAN GAAL ‘ATESWA’ NA KIVULI CHA JOSE MOURINHO MANCHESTER UNITED

LOUIS VAN GAAL amekiri kuwa hawezi kuvumilia kupoteza mechi yoyote sasa kama anataka kubaki kuwa kocha wa Manchester United.United imeichapa Norwich City 1-0 na kuweka presha kwa majirani zao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOUIS VAN GAAL AWA SHABIKI WA ARSENAL KWA MUDA

KOCHA wa Manchester United, Louis van Gaal aliamua kuwa shabiki wa muda wa Arsenal katika mechi ya washika bunduki hao dhidi ya Manchester City iliyopigwa Jumapili na kuisha kwa sare ya 2-2. Kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAYNE ROONEY SASA AKERWA KUPANGWA KAMA MSHAMBULIAJI

LOUIS VAN GAAL amekiri kuwa Wayne Rooney hakufurahia alipompanga kucheza kama straika katika mechi waliyoshinda 1-0 dhidi ya Norwich City Jumamosi.Anthony Martial alichaguliwa kucheza nafasi hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AISHA VUVUZELA: NIMEISUBIRI KWA MUDA MREFU NAFASI YA KUITUMIKIA JAHAZI

Mwimbaji mpya wa Jahazi Modern Taarab, Aisha Vuvuzela amesema aliisubiri kwa muda mrefu nafasi ya kuitumikia bendi hiyo.Vuvuzela aliyasema hayo Jumamosi iliyopita wakati alipofanya mahojiano na kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AYA 15 ZA SAID MDOE: RADIO ONE NA HADHITHI YA MAITI KUPIGA CHAFYA

Niliwahi kusoma kisa moja cha kusisimua cha mtu aliyedhaniwa kufariki, ‘kufufuka’ akiwa kishaingizwa kaburini tayari kwa kuzikwa.Kisa hicho kikasema kuwa wakati mwili ukiwa umeshawekwa kaburini, ndipo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PEP GUARDIOLA AAGA BAYERN MUNICH NA UBINGWA

BAYERN MUNICH wametawazwa kuwa mabingwa wa Ujerumani kwa mara ya 26 wakiwa na mchezo mmoja mkononi baada ya mabao mawili kutoka kwa Robert Lewandowski kuwapa ushindi dhidi ya Ingolstadt.Kikosi hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAUL POGBA ASEMA PAUL SCHOLES ‘NDIO KILA KITU’ KWAKE

PAUL POGBA amekiri kuwa Paul Scholes alikuwa mchezaji ambaye alimsisimua zaidi kutokana na uwezo wake mkubwa dimbani wakati alipowasili Manchester United.Mfaransa huyo alitua Old Trafford akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOTTONHAM YAANZA KUJIWEKA PABAYA MBIO ZA LIGI YA MABINGWA ULAYA

TIMU ya Tottenham Hotspurs imeanza kulegeza mwendo na inaweza kujiweka matatani katika mbio za nafasi mbili za kufuzu moja kwa moja Ligi ya Mabingwa Ulaya. Wakicheza katika mechi ya kwanza bila kiungo...

View Article
Browsing all 8805 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>