Quantcast
Channel: saluti5
Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

JADO FFU ATANGAZA KUACHA KAZI MASHUJAA BAND

$
0
0


Mwimbaji, mtunzi na mwanamuziki mwandamizi wa Mashujaa Band, Jado FFU ametangaza kuachana na bendi hiyo aliyoshiriki kuiasisi zaidi ya miaka mine iliyopita.

Jado ametangaza hatua hiyo kupitia ukurasa wake wa Facebook masaa kadhaa yaliyopita huku akisema kuwa mwanamuziki mmoja aliyemkaribisha kundini ndiyo chanzo cha yeye kuamua kuachana na Mashujaa.

Tamko hili la Jado limekuja siku chache baada ya video yake iliyokuwa ikishutumu maisha ya kambini mkoani Lindi kuachiwa hewani kwenye mitandao ya kijamii.

Hiki ndicho alichokiandika Jado FFU kupitia ukurasa wake wa Facebook.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 8805

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>